|
mtalamu wa..... |
|
ze jini ze kabula |
|
bushoke |
niseme ni sisemeeeeeeee? semaaaaaa,, mwenzenu Jini Kabula ana mimba ya Bushokeeeee,,,,,,, heeeee ma aunt tupo na beseni tutaleta, kwa sasa eeeh Bushoke yupo South Africa,anamuita ze jini aende wakalee mimba, lakini ze jini anasua sua ku keep ze pregooo, jamani matunda ya kupendana ni pregoo hee jini kabula zaa tu nipo kwaajili ya pampers, mmh Jini Kabula mtunze mtoto jamani maana haya mambo ya kuchoropoa inakuwa so ili mradi kaka kakwambia atalea haina noma ingawa sijui SA anafanya nini lakini kazi ni kazi tuu ili mradi mdomo uende kwa stomach
nawashauri Jini Kabula na Bushoke mmependane kama Sintah na ...... maana hakuna wakututenganisha ni Mungu tu.